Hapa kazi tu

Wilaya ya Magu wafanya usafi wa mazingira leo tarehe 09/12/2015. Diwani wa kata ya Isndula  Velina Emmanuel Makwandi, Mbunge viti maalum (Maria Kangoe Ndila) na Diwani viti maalumu Stella Maya waongoza kikosi cha UVCCM kufanya usafi katika eneo la Hospitali ya wiaya-Magu. Baada ya usafi pia walikuwa na zawadi kidogo ya sabuni kwa wagonjwa waliolazwa hospitalini hapo. Picha na Mussa Julius Makunza.

















Comments