MAMBA MLAWATU AULIWA - MAGU January 28, 2014 Get link Facebook X Pinterest Email Other Apps Mamba mlawatu aliyeuwa watu zaidi ya 42 kwa nyakati tofauti tofauti wilayani Magu, auliwa na maaskali usiku wa kuamkia jumanne ya tarehe 28/01/2014. Mkuu wa Polisi Wilayani Magu (OCD-Charles Mkapa) adhibitisha kutokea kwa tukio hilo. Comments
Comments
Post a Comment